Ibada ya Ushirika Utakatifu
Jumapili ya Utatu
Kiongozi wa Ibada: Ven. Canon Isaac M. Wanjii
Zaburi 8
Waraka: 2 Wakorintho 13:11-14
Injili: Mathayo 28:16-20
Mhubiri: Rev. Johna Mwangi wa Muchiri